Skip to main content
Skip to main content

Zaidi ya vijana 120,000 wafungwa katika miaka minne

  • | Citizen TV
    2,357 views
    Duration: 2:51
    Zaidi ya Vijana 120,000 wamefungwa jela nchini katika kipindi cha miaka minne iliyopita. Waziri wa Usalama Kipchumba Murkomen amesema kuwa vijana hao walikamatwa kati ya mwaka 2022 na mwaka huu wa 2026. Aidha, Vijana 11,824 kati yao wamefungwa kwa makosa ya uhalifu unaohusishwa na magenge, ugaidi na uhuni. Na kama anavyoarifu Melita Ole Tenges, Murkomen anasistiza kuwa serikali inajitahidi kudhibiti uhuni na kuhakikisha kuna usalama kote nchini.