Skip to main content
Skip to main content

Zoezi la kuutafuta mwili wa mlinzi wa pili kwenye Jengo lililoporomoka south cyaendelea

  • | Citizen TV
    1,112 views
    Duration: 6:28
    Shughuli ya kuutafuta mwili wa mlinzi wa pili kwenye vifusi vya jengo lililoporomoka mtaani Eastleigh bado linaendelea. Hapo jana, mwili mmoja uliondolewa maafisa wa vitengo mbali mbali vya asasi ya serikali kuwajibika kwa siku mbili.