- 284 viewsMkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Fedha, IMF, Kristalina Georgieva yuko nchini Rwanda kwa ziara ya siku tatu. Akiwa mjini Kigali amekutana na mawaziri wa fedha pamoja na magavana wa benki kuu za Rwanda, Uganda, Kenya na Sudan Kusini. Mkurugenzi Mkuu huyo amesema kwamba shirika lake liko tayari kusaidia miradi mikubwa ya maendeleo kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa. Amesema ili mataifa haya yaweze kufanikiwa kuna umuhimu wa kuandaa miradi mizuri ambayo inaweza kupata ufadhili hasa kwa kuzingatia kuwa pesa iliyopo haitoshi. #mkurugenzi #shirikalakimataifalafedha #imf #rwanda #afrikamashariki #voa #voaswahili #rwanda - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
IMF yatoa wito kwa mataifa ya Kiafrika kuandaa miradi inayoweza kupata ufadhili
- » MP Koech: Officers who included Kemosi in list of ambassadorial appointees should be held accountable6 May 2024 - Belgut MP Nelson Koech wants officers who included the name of Kenya's High Commissioner to Ghana nominee, Vincent Kemosi, in the appointee list to be held accountable.
- 6 May 2024 - The government has warned schools across the country against re-opening following the flood crisis occasioned by the ongoing heavy rains.
- 6 May 2024 - Reading Time: < 1 minute Following rescue missions by a multi-agency team, a total of 1,048 people have been rescued from Baringo South, which was […]
- 6 May 2024 - The Kenya Urban Roads Authority (KURA) has closed UN-Avenue, Runda due to the rising water levels on the road following the heavy downpour experienced Sunday night.
- 6 May 2024 - Cyclones and tornadoes are both powerful weather phenomena, but they have distinct characteristics.
- 6 May 2024 - Abdi says their unity efforts will have a positive impact on the lives of residents.
- 6 May 2024 - Cumulatively, 223,198 people have been affected by floods in Kenya.
- 6 May 2024 - The floods in Kenya continue to wreak havoc, killing people and leaving many others displaced.
- 6 May 2024 - Dig Deep (Africa) and the County Government of Bomet on Saturday, April 4, 2024, launched the Water Sanitation and Hygiene (WASH) Hub that will enable learning in the sector. Speaking during the launch, Dig Deep (Africa) Head of Programmes Justus Tanui…
- 6 May 2024 - The US embassy also laid down the step-by-step procedure on how to ensure your appointment is not cancelled.