- 27,340 viewsDuration: 28:10Mgogoro katika Mashariki ya Kati unaendelea huku Iran ikiendelea kushambuliana kwa makombora ya angani na Marekani na Israel, huku kukiwa na ripoti za matarajio ya mazungumzo wiki hii nchini Pakistan. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw