- 28,689 viewsDuration: 1:42Uchaguzi wa urais wa mwaka huu nchini Tanzania umeweka historia mpya baada ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuidhinisha rasmi jumla ya wagombea 17. Idadi hii ni kubwa zaidi ikilinganishwa na ile ya mwaka 2020 ambapo wagombea 15 pekee walijitokeza. @mrs.tadicha anatuelezea - - #bbcswahili #tanzania #siasa #uchaguzimkuu2025