Skip to main content
Skip to main content

Katibu Isaboke aongoza ufunguzi rasmi wa kongamano la sekta ya vyombo vya habari

  • | KBC Video
    56 views
    Duration: 2:26
    Vitisho vinavyozidi kuongezeka vya upotoshaji, taarifa za uwongo na kutiliwa chuku kwa maudhui ya mtandaoni ni masuala yaliyoangaziwa leo huku kongamano la sekta ya vyombo vya habari kuhusu umajumui wa Afrika la mwaka-2026 liking’oa nanga jijini Nairobi. Akihutubia wajumbe waliohudhuria hafla hiyo, katibu katika idara ya utangazaji na mawasiliano Stephen Isaboke alisema bara Afrika lazima lipige jeki haraka iwezekanavyo mifumo ya habari katika hatua ya kulinda demokrasia, imani ya umma na uadilifu katika enzi ya kidijitali. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive