- 30,931 viewsDuration: 3:05Kizaazaa kilishuhudiwa nje ya Hospitali ya Lang’ata jijini Nairobi, ambako Mkuu wa Polisi wa Kituo cha Central, Dishon Angoya, amelazwa baada ya kukamatwa kwa madai ya kuwaachilia mahabusu waliokamatwa wakati wa maandamano. Angoya aliripotiwa kuugua muda mfupi baada ya kukamatwa kufuatia hatua yake ya kuwaachilia wafungwa 64 waliokuwa wakizuiliwa katika kituo hicho.