Walezi, watu wenye mahitaji maalum, watungaji sera na maafisa wa serikali wanakutana jijini Nairobi kwa mazungumzo ya kitaifa ya siku mbili kwa lengo la ujumuishaji wa watu wanaoishi na ulemavu humu nchini.KIkao hicho kinachoendelea katika taasisi ya utayarishaji mitaala ya masomo nchini KICD kinanuia kuimarisha utekelezajhi sera na kuboresha wito wa watu wanaoishi na ulemavu nchini. Aaron Marie ana taarifa zaidi.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive