Skip to main content
Skip to main content

Mahakama imekataa kuwaachilia kwa dhamana washukiwa-12 wa uhalifu Butula

  • | KBC Video
    136 views
    Duration: 1:29
    Mahakama imekataa kuwaachilia kwa dhamana washukiwa kumi na wawili waliokamatwa kwa madai ya kutekeleza uhalifu katika Kaunti Ndogo ya Butula, Kaunti ya Busia. Washukiwa hao, kutoka kijiji cha Mundasi, wanakabiliwa na mashtaka 11 ya uhalifu ikiwemo uteketezaji mali, wizi wa kimabavu na mauaji, miongoni mwa makosa mengine. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive