Skip to main content
Skip to main content

Mwanamume aliyemuua chatu apata afueni baada ya kuahidiwa fidia ya serikali

  • | Citizen TV
    9,853 views
    Duration: 1:57
    Mwanamume aliyemuua chatu baada ya kumshambulia na kumuua mbwa wake katika kijiji cha Luoka eneo la Madungu kaunti ya Siaya, amepata afueni baada ya kuhakikishiwa kwamba atapokea fidia ya serikali.