Skip to main content
Skip to main content

Mwili wa Raila Odinga ulivyowasili uwanja wa Nyayo

  • | BBC Swahili
    12,169 views
    Duration: 1:01
    Ilikuwa huzuni na vilio mwili wa Waziri mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga ulipowasili katika uwanja wa kitaifa wa Nyayo kwa hafla ya kitaifa ya kumuaga Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw