Skip to main content
Skip to main content

Tume ya IEBC yahitaji shilingi bilioni 74 kuandaa uchaguzi mkuu

  • | KBC Video
    262 views
    Duration: 3:30
    Tume huru ya uchaguzi na mipaka hapa nchini-IEBC imesema inahitaji shilingi bilioni-74 kuandaa uchaguzi mkuu huru, wa haki na wa kuaminika. Ikiwa mbele ya kamati ya bunge la kitaifa kuhusu haki na masuala ya sheria ikiwasilisha makisio ya bajeti ya kipindi cha kifedha cha mwaka 2026/2027, tume ya IEBC imesema kwamba imetengewa shilingi bilioni-41 pekee, ikiwa na nakisi ya shilingi bilioni-33, hatua ambayo makamishna wake wanasema inaweza kuhujumu shughuli zake wakati wa uchaguzi mkuu ujao. Abdiaziz Hashim atuarifu zaidi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive