- 867 viewsDuration: 1:55Usalama uliimarishwa jijini Nairobi huku viongozi wa serikali na wawekezaji kutoka kote ulimwenguni wakihudhuria kongamano la ushirikiano baina ya ufaransa na bara Afrika. Kutoka angani hadi barabarani huduma za usalama ziliendelezwa ili kuhakikisha jiji la Nairobi ni shwari. Kasichana Masha ana taarifa kamili. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive