Skip to main content
Skip to main content

Zaidi ya watu 800 wafariki baada ya tetemeko kupiga mashariki mwa Afghanistan

  • | BBC Swahili
    1,022 views
    Duration: 3:47
    Waokoaji nchini Afghanistan wanatatizika kufikia vijiji vya maeneo ya mbali ya milima mashariki mwa nchi hiyo kufuatia tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa kipimo cha richa cha 6.0. Watu 800 wamefariki huku 2,000 wa wakijeruhiwa. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw