- 548 viewsMeli ya mafuta ambayo ilikuwa ikiungua kwa wiki kadhaa katika Bahari ya Sham baada ya kushambuliwa na waasi wa Wahouthi wa Yemen, na kutishia kumwagika kwa mafuta imeokolewa, kampuni ya ulinzi imesema Ijumaa. Meli hiyo Sounion ilikuwa ni maafa yanayo subiriwa kwa katika mkondo huo wa maji, huku ikiwa na mapipa milioni 1 ya mafuta ghafi ambayo ilishambuliwa na baadaye kuharibiwa kwa vilipuzi vilivyotumiwa na Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran ikiwa ni sehemu ya kampeni yao juu ya vita vya Israel na Hamas huko Ukanda wa Gaza. Ilichukua miezi kadhaa kwa waokoaji kuweza kuivuta meli hiyo, kuzima mioto na kushusha mafuta ghafi yaliyobaki.. “Mapema Oktoba, meli hiyo ilivutwa hadi upande wa kaskazini wa mfereji wa Suez ili kupakua mizigo, ambapo hivi sasa zoezi hilo limekamilika.” Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilionya kuwa kuvuja kwa mafuta kutoka katika meli hiyo ya Sounion kungeweza kuwa “mara nne kwa ukubwa wa maafa ya Exxon Valdez” yaliyotokea mwaka 1989 nje ya pwani ya Alaska. Hakuna maelezo yoyote ya mara moja kutoka kwa Wahouthi, ambao wamekuwa wakiushikilia mji mkuu wa Yemen, Sanaa, kwa zaidi ya muongo mmoja na wamekuwa wakipigana na ushirika wa unaongozwa na Saudi Arabia ambao unaiunga mkono serikali iliyo uhamishoni kwa muda mrefu. - AP #wahouthi #meli #mafuta #bahariyasham #yemen
Meli iliyobeba mapipa milioni 1 yaokolewa baada ya kushambuliwa na Wahouthi
- 1 May 2025 - A woman has been charged with forgery and making false documents in a protracted legal dispute over a parcel of land near Moi Barracks in Eldoret, Uasin Gishu County.
- 1 May 2025 - Education Cabinet Secretary Julius Ogamba confirmed the disbursement during the Inaugural Education Conference 2026 held at Lake Naivasha Resort.
- 1 May 2025 - Just two months after he warned that his life was in danger, Kasipul Member of Parliament Charles Ong'ondo Were was shot dead on Wednesday evening in Nairobi.
- 1 May 2025 - Erin Patterson, 50, is charged with three murders -- of the parents and aunt of her estranged husband -- and one attempted murder.
- 1 May 2025 - Cardinals will begin their secret conclave to elect the new leader of the global Church on May 7.
- 1 May 2025 - Kenya has reaffirmed its position as a continental climate leader with the submission of its Second Nationally Determined Contribution (NDC) to the United Nations Framework Convention on Climate Change (UNFCCC), outlining a bold vision for a climate-…
- 1 May 2025 - The MP had publicly claimed some people were plotting to assassinate him.
- 1 May 2025 - In the wake of Were's murder, Kenyans.co.ke delved into the past assassinations of political figures.
- 1 May 2025 - The electric car firm says a report that it is hunting for a successor is "absolutely false".
- 1 May 2025 - Today's celebrations commemorate 60 years of championing workers’ rights in Kenya.