Somalia: Wanajeshi waimarisha doria wakati Trump aamuru IS kushambuliwa
Kwa takriban mwezi mmoja, Majeshi ya Ulinzi ya Puntland wameripotiwa kusonga mbele kufikia maficho ya wapiganaji wa Islamic State katika ukanda huo, huku kikiwa na mapigano makali hivi karibuni huko Turmasaale, eneo la kimkakati. Licha ya vifo kwa pande zote mbili, wanajeshi wa Puntland wamepiga hatua kubwa, wakikamata maeneo muhimu kadhaa.
Siku ya Jumamosi (Februari 1) Rais wa Marekani Donald Trump alisema aliamuru mashambulizi ya kijeshi kumlenga mpangaji mkuu wa mashambulizi ya Islamic State na wengine kutoka katika jumuiya hiyo nchini Somalia.
Waziri wa Ulinzi Pete Hegseth alisema mashambulizi yalifanywa katika eneo la milima ya Golis na hakuna raia aliyedhurika.
Reuters haikuweza kuthibitisha maelezo hayo.
Afisa mmoja wa ofisi ya rais Somalia, akitaka jina lake lisitajwe, alithibitisha mashambuliz hayo na kusema serikali ya Somalia imeipokea hatua hiyo.
Marekani katika vipindi tofauti imefanya mashambulizi ya anga nchini Somalia kwa miaka kadhaa, chini ya utawala wa Warepublikan na Wademokratik.
(Reuters)
#somalia #is #isis #voa
1 May 2025
- During the ruling, the court ordered the defendants to refund the money.
1 May 2025
- Several Kenyans have since mourned the MP, calling for swift investigations.
30 Apr 2025
- The lawmaker was gunned down within Nairobi city.
1 May 2025
- The 76-year-old born into a humble family of 10 children is the first clergyman from the west African country to receive a red hat, having been made cardinal in 2003 by John Paul II.
1 May 2025
- National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has described Kasipul Member of Parliament Charles Were, who was shot dead on Wednesday evening in Nairobi, as a fearless and committed public servant.
1 May 2025
- In a Wednesday statement released by the Office of the Inspector General, the incident occurred at approximately 7:30 p.m. on Wednesday along Ngong Road, near the City Mortuary roundabout.
1 May 2025
- The defeated Democrat told supporters the apparent "chaos" of the last three months was actually the realization of a long-cherished plan by conservatives who are using Trump to twist the United States to their own advantage.
1 May 2025
- South Africa's President Cyril Ramaphosa is setting up a judicial commission of inquiry to establish whether attempts were made to prevent the investigation or prosecution of apartheid-era crimes, his office said on Wednesday.
1 May 2025
- Iran on Wednesday executed a man convicted of espionage for Israel's Mossad spy agency and involvement in the 2022 assassination of a Revolutionary Guards colonel, the judiciary said.
1 May 2025
- Swedish police detained a 16-year-old early on Wednesday on suspicion of murdering three people in a hair salon in the city of Uppsala, prosecutors said.
1 May 2025
- Leaders have mourned the legislator terming his death as a shock.
1 May 2025
- They have described the late MP as a humble, gallant and dedicated servant of the people.
1 May 2025
- Celebrated annually on May 1.