Kwa nini Trump anakata msaada kwa Afrika Kusini?
Rais wa Marekani Donald Trump Jumapili alidai kuwa serikali ya Afrika Kusini “inataifisha ardhi, na kuwatendea vibaya sana watu wa tabaka fulani.”
“Marekani haitavumilia hilo, tutachukua hatua. Pia nitakata ufadhili wote siku za usoni kwa Afrika Kusini mpaka uchunguzi kamili wa hali hii ukamilike,” Trump alisema.
Hatua ya Trump imekuja mara baada ya Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa kusaini kuwa sheria mswaada wa Utaifishaji Ardhi unaofungua njia kwa serikali kutaifisha ardhi bila yakulipa fidia.
Sheria hiyo ina lengo kupambana na athari za kibaguzi za enzi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini ambayo ilishuhudia wazungu wachache katika taifa hilo waliokuwa na umiliki mkubwa wa ardhi.
Mamlaka nchini Afrika Kusini zilimjibu Trump Jumatatu nakueleza kuwa sheria hiyo “siyo chombo cha kutaifisha ardhi, lakini ni mchakato wa kisheria uliopitishwa kikatiba ambao unauhakikisha umma unapata ardhi katika usawa na haki kama inavyoongozwa na Katiba.”
Akizungumza wakati wa sherehe za viwanda Jumatatu, Waziri wa Madini wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe, alitoa wito wakukabiliana na vitisho vya Trump. Mantashe alisema Trump ana “yaoneya” mataifa madogo kwa sababu “wao ni taifa kubwa.”“Lazima tupinge hilo,” waziri wa madini alisema. - Reuters
#donaldtrump #marekani #afrikakusini #cyrilramaphosa #utaifishajiardhi #sheria #voa #voaswahili #rais
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
11 Aug 2025
- The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- Justice Ndung'u credits unlikely male allies in Parliament for breakthrough legislation protecting women