'Sera ya Elimu inahitaji kuja na ufafanuzi wa kina juu ya utekelezaji'
Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014, toleo la mwaka 2023, inalenga kutoa elimu na ujuzi kwa wanafunzi ili kuwaandaa kwa mahitaji ya sasa na ya baadaye katika soko la ajira na maisha kwa ujumla kupitia uhimizaji wa elimu ya ujuzi kuliko kutegemea taaluma pekee. Zaida Mgala aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Uwezo Tanzania linalojishughulisha na masuala ya elimu amesema licha ya sera hiyo kuja na mipango mizuri lakini bado inahitaji kuja na ufafanuzi wa kina wa namna gani mipango hiyo inaweza kutekelezeka.
Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania.
#sera #elimu #tanzania #soko #ajira #wanafunzi #teknolojia #waalimu #diploma #voa #voaswahili
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
11 Aug 2025
- The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- Justice Ndung'u credits unlikely male allies in Parliament for breakthrough legislation protecting women