Skip to main content
Skip to main content

Familia ya John Okoth Ogutu aliyeuawa jijini Dar es Salaam, Tanzania yahangaishwa kupata maiti yake

  • | Citizen TV
    293 views
    Duration: 2:47
    Familia ya Mkenya John Okoth Ogutu aliyeuawa jijini Dar es Salaam, Tanzania wakati wa machafuko ya uchaguzi inasema bado haijapata usaidizi wa kupata maiti yake. Familia ya Ogutu inasema wamekuwa wakihangaishwa na ahadi tupu kila wanapofika kwa idara za serikali kutaka mwelekeo. wanaharakati wa kenya sasa wakimtaka Rais Samia Suluhu Hassan kuwajibikia machafuko hayo