Skip to main content
Skip to main content

Wazazi huko Kilifi wahimizwa kudhibiti mienendo ya watoto

  • | Citizen TV
    90 views
    Duration: 2:08
    Huku kampeni ya siku 16 za dhidi ya dhuluma za kijinsia zikitarajiwa kuanza baadaye mwezi huu, wadau wanawahimiza wazazi kuwa makini na watoto wao msimu huu wa likizo ndefu.