Skip to main content
Skip to main content

Wananchi wahimizwa kutoa maoni kuhusu matumizi ya fedha Elgeyo Marakwet

  • | Citizen TV
    125 views
    Duration: 2:20
    Serikali ya kaunti ya Elgeyo Marakwet inaendelea na mchakato wa kutafuta maoni kutoka kwa wakazi wa kaunti hiyo kuhusiana na mswada wa fedha wa mwaka wa 2025/2026 katika kaunti hiyo.