Skip to main content
Skip to main content

Ugonjwa wa Ngovi wasambaa miongoni mwa mifugo Nandi

  • | Citizen TV
    200 views
    Duration: 1:35
    Idara ya Kilimo katika Kaunti ya Nandi imeweka karantini kufuatia kuenea kwa ugonjwa wa ngozi unaofahamika kama Lumpy Skin Disease katika maeneo mbalimbali ya kaunti hiyo.