Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kaunti ya Nyamira yazindua mpango wa mafunzo ya walemavu

  • | Citizen TV
    64 views
    Duration: 1:46
    Serikali ya kaunti ya Nyamira kwa ushirikiano na mashirika yasiyo ya serikali zimezindua mpango wa mafunzo kwa walemavu, ili kuwawezesha kupata ajira ama kuanzisha biashara na kujiajiri wenyewe.