Skip to main content
Skip to main content

Maafisa wa ujasusi Kisii wamemkamata Christopher Osaga kwa utapeli

  • | Citizen TV
    1,529 views
    Duration: 1:27
    Maafisa wa ujasusi kutoka Kisii wamemkamata mwakilishi wadi ya Nyamasibi Christopher Osaga kufuatia visa vya watu kadhaa kuripoti kwamba Osaga amekuwa akiwatapeli akiahidi kuwatafutia nafasi za kusafiri hadi Canada kubadilisha maisha yao.