Skip to main content
Skip to main content

Waziri wa jinsia Hannah Cheptumo apendekeza washukiwa wa dhulma za watoto wafungwe maisha

  • | Citizen TV
    509 views
    Duration: 2:20
    Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya watoto duniani waziri wa jinsia, utamaduni na huduma kwa watoto Hannah Cheptumo amependekeza marekebisho ya sheria ili washukiwa wa dhuluma dhidi ya watoto wafungwe maisha.