Skip to main content
Skip to main content

Anthony Otieno mhudumu wa kuwasilisha bidhaa za mtandaoni auwawa mtaani South B

  • | Citizen TV
    3,572 views
    Duration: 2:59
    Polisi wanachunguza kisa ambapo mhudumu mmoja anayefanya kazi ya kuwasilisha bidhaa zilizonunuliwa mtandaoni alipatikana ameuwawa kikatili mtaani South B, hapa Nairobi. Mwili wa Anthony Otieno ulipatikana chini ya kitanda katika jengo moja mtaani humo, ukiwa na damu nyingi na umefungwa miguu na mikono.