Skip to main content
Skip to main content

MASKANI | Hotuba ya Rais kwa taifa [ Part 1]

  • | Citizen TV
    4,297 views
    Duration: 29:19
    Rais William Ruto atahutubia taifa bungeni leo. Hotuba kuangazia mafanikio ya serikali ya Kenya Kwanza. Serikali imeanzisha miradi mingi ukiwemo wa nyumba za bei nafuu. Wakenya wengi walalamika kuhusu hali ngumu ya maisha.