Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa kijiji cha Shalete waishi kwa hofu ya utovu wa usalama

  • | Citizen TV
    3,107 views
    Duration: 1:16
    Wakazi wa kijiji cha Shalete, kaunti ya Wajir, wanaishi kwa tahadhari baada ya kifaa kinachoshukiwa kuwa kilipuzi kudaiwa kutua eneo hilo kimakosa kutoka kambi ya kijeshi iliyo karibu.