Skip to main content
Skip to main content

Katibu katika wizara ya afya Mary Muthoni atoa ametoa wito kwa Wakenya kuzingatia usafi nyumbani,

  • | Citizen TV
    405 views
    Duration: 1:15
    Katibu katika wizara ya afya Mary Muthoni ametoa wito kwa wakenya kuzingatia usafi nyumbani, akisema kuwa idadi kubwa ya magonjwa yanatibiwa kwa kuzingatia kanuni za usafi.