Skip to main content
Skip to main content

Polisi wasaka wahalifu wanaohangaisha wakazi Transmara Kusini

  • | Citizen TV
    194 views
    Maafisa wa polisi kule Transmara Kusini wanaendelea na msako wa majambazi ambao waliwauwa wafanyabiashara wawili katika soko la Loliondo usiku wa kuamkia Alhamisi kabla ya kutoweka bila kuiba chochote.