Skip to main content
Skip to main content

Washukiwa wawili wa kutengeneza pombe haramu wanaswa kaunti ya Kitui

  • | Citizen TV
    36 views
    Mamlaka ya Kitaifa ya kupambana na Pombe na Dawa za Kulevya (NACADA) ikishirikiana na maafisa wa usalama kaunti ya Kitui imewanasa washukiwa wawili wa kutengeneza pombe haramu mjini Kitui.