Waziri mwenye mamlaka makuu Musalia Mudavadi ametetea hatua ya kuvunja chama cha ANC na kuungana na kile cha UDA, akisisitiza mchakato huo ulifanywa kuambatana na sheria . Mudavadi, akizungumza katika mahojiano na vyombo vya habari vya eneo la Magharibi, alisema muungano huo ulifuata taratibu zote za kikatiba na kisheria, na kuwahimiza wafuasi wa chama hicho kuwa imara
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive