Skip to main content
Skip to main content

Magatuzini I Shule ya wasichana ya Bakhita kule Chuka yafungwa

  • | KBC Video
    216 views
    Duration: 3:47
    Shule ya upili ya wasichana ya st. Bakhita Chuka , imefungwa kufwatia ghasia za wanafunzi. Usimamizi wa shule hiyo umesema wanafunzi wataruhusiwa kwenda nyumbani hapo kesho. Kwingineko wafugaji wa mbuzi ambao walishiriki mnada wa mbuzi wa Kimalel,kaunti ya Baringo, wanalalamikia kucheleweshwa kwa malipo yao , miezi miwili baadaye. Wafugaji hao wanawashtumu maafisa wa kaunti kwa mapendeleo, wakidai kuwa, baadhi wafugaji wenye mahusiano na wanasiasa tayari wamelipwa huku watu wengine wakiendelea isubiri. Mengi zaidi ni katika mseto wa kaunti na mwanahabri wetu Khalid Abdullahi Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive