- 2,134 viewsWatu wenye silaha wavamia hospitali muhimu ya Kabasha, malori na maduka ya wananchi nyakati za usiku na kumuua mama moja na mtoto mchanga kwa kuwapiga risasi. Pia watu hao wanaodhaniwa kuwa waasi wa ADF waliwateka wauguzi wawili wa kituo cha afya na wakaazi wengine zaidi ya kumi ambao hawajulikani waliko. Sikiliza repoti kamili kuhusu hatua inayochukuliwa na jeshi la DRC likishirikiana na jeshi la wananchi wa Uganda... - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Waasi warepotiwa kuua mama, mtoto na kuteka wauguzi DRC
- 3 Jul 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has filed a suit seeking to recover prime public land in Eldoret’s Central Business District, estimated to be worth Ksh.200 million.
- 3 Jul 2025 - Coffee farmers from 76 factories in Kirinyaga County held protests in Kerugoya town after the High Court extended a conservatory order halting the implementation of new coffee exchange fees.
- 3 Jul 2025 - Thousands of youths on Thursday stormed and torched the Mawego Police post in Rachuonyo East, Homa Bay County, while carrying the coffin of the late blogger Albert Ojwang' who is set to be buried tomorrow.
- 3 Jul 2025 - Gem MP Elisha Odhiambo has announced plans to take legal action against former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i over alleged extrajudicial killings during the Jubilee administration.
- 3 Jul 2025 - Legal proceedings initiated to recover the prime land.
- 3 Jul 2025 - Boniface Mwangi died from a severe head injury caused by a rubber bullet, according to the results of a postmortem conducted at Kenyatta National Hospital. Pathologist Dr. Peter Ndegwa, who conducted the examination, revealed that four bullet fragments…
- 3 Jul 2025 - Prime Cabinet Secretary and Foreign Affairs CS Musalia Mudavadi has outlined the benefits Kenya stands to gain from the newly signed Kenya-UK Strategic Partnership 2025–2030, describing it as a vehicle for transforming the country’s economy.
- 3 Jul 2025 - President William Ruto on Wednesday witnessed the signing of Memorandum of Understandings (MoUs) with learning institutions in the United Kingdom.
- 3 Jul 2025 - Elders from Mt. Kenya East have strongly reaffirmed their support for Deputy President Prof. Kithure Kindiki, condemning what they described as “tribal wars” being fueled by impeached former Deputy President Rigathi Gachagua. In a resolute statement…
- 3 Jul 2025 - The principals did not have the required details.