- 3,418 views
Mmiliki wa jumba lililoporomoka na kuwaua watu wawili eneo la Ruaka juma lililopita amekamatwa. Mshukiwa aliyekuwa akitafutwa tangu tukio hilo alikamatwa katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta akijaribu kuondoka nchini. Kamishna wa kaunti ya Kiambu Joshua Nkanatha akisema kuwa mtu huyo kwa sasa anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Kiambu akisubiri kufikishwa kortini. Jumba hilo liliporomoka na kusababisha vifo vya mtu na mkewe. kwa mujibu wa Nkanatha, mmiliki huyu pamoja na wahusika wengine wakiwemo maaafisa wa kaunti na wahandisi huenda wakashtakiwa. Kukamatwa kwake kukijiri saa chache baada ya jumba jingine kuporomoka katika eneo la Ruiru kaunti hiyo hiyo ya Kiambu
Mmiliki wa jumba lililoporomoka Ruaka akamatwa
- 18 Jul 2025 - A multi-agency team led by officers from the Obama Police Station in Kayole carried out a night raid on Thursday targeting illicit alcohol brewing dens in the Mwengenye area, near the Dandora Bridge along the Nairobi River.
- 18 Jul 2025 - Members of Parliament have raised concerns over delayed justice within the Judicial system, calling on judges to expedite case processing.
- 18 Jul 2025 - Naivasha Member of Parliament (MP) Jayne Kihara has been presented at the Milimani Law Courts following her arrest on Friday.
- 18 Jul 2025 - The article gained significant traction globally, prompting the government's response.
- 18 Jul 2025 - Many social media users criticised the ban as sexist, invasive, and paternalistic.
- 18 Jul 2025 - The Insurance Regulatory Authority (IRA) has announced the cancellation of operational licences for twenty insurance brokers. In a Gazette Notice published on Friday, 18th July 2025, the Authority stated: “The Insurance Regulatory Authority (IRA) hereby…
- 18 Jul 2025 - The authority stated that the firms have been deregistered in accordance with the law.
- 18 Jul 2025 - The measure is aimed at supporting local farmers and processors by promoting domestic value addition through local processing and industrial development.
- 18 Jul 2025 - The extreme sportsman was known as "Fearless Felix" for his adventurous stunts
- 18 Jul 2025 - The senator was speaking during a Senate session on Thursday.