Skip to main content
Skip to main content

Zaidi ya watoto 600 wapokea msaada wa sodo Malindi

  • | Citizen TV
    94 views
    Duration: 1:45
    Zaidi ya watoto 6000 wa kike katika wadi ya Jilore, eneo bunge la Malindi wamenufaika na msaada wa Sodo zinazoweza kuoshwa baada ya kutumika. Wafadhili wa mpango huo chini ya shirika la Watoto Kenya wamesema usaidizi huo unawalenga watoto wanaotoka familia maskini katika eneo hilo. Aidha mpango huu pia unahusisha kuwapa zaidi ya wanafunzi 2000 chakula cha mchana ili kuwasaidia kusalia shuleni na kuimarisha elimu katika eneo hilo. Wazazi wamepongeza mpango huo wakisema utasaidia kuhakikisha watoto wanasalia madarasani hasa baada ya kushuhudiwa kwa kiangazi Kwa muda mrefu.