- 859 viewsDuration: 3:34Rais William Ruto ametia saini kuwa sheria mswada wa miundo msingi ya kitaifa, itakayotoa mwongozo wa kukusanya shilingi trilioni 5, zitakazofadhili miradi mikuu ya serikali nchini. Akizungumza baada ya kutia saini sheria hiyo siku ya jumatatu, rais Ruto amesema mradi wa kwanza utakaofadhiliwa kupitia kwa mpango huo ni uboreshaji na ujenzi wa uwanja wa ndege wa JKIA.