Skip to main content
Skip to main content

Wakaazi wa Kipini waandamana kufuatia madai ya unyakuzi

  • | Citizen TV
    221 views
    Duration: 2:02
    Wakaazi wa kijiji cha kipini Kaunti ya Tana River wameandamana kutokana na madai ya kunyakuliwa kwa ardhi ya ekari 10,000 huku wakishtumu maafisa wa serikali kwa kufanikisha unyakuzi huo