Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa KUPPET walalamikia serikali kwa kuwapuuza

  • | Citizen TV
    262 views
    Duration: 1:11
    Shule zinapoanza kufunguliwa kwa muhula wa tatu naibu mweka hazina wa kitaifa wa chama cha KUPPET Ronald Tonui ameibua haja ya kutimizwa kwa ahadi ya serikali ya kuongeza Walimu mishahara kupitia tume ya kuajiri walimu