- 449 views
Majibizano makali yanatarajiwa bungeni alasiri ya leo pale wabunge watakapojadilli mapendekezo ya mswada tata wa fedha mwaka elfu mbili ishirini na tatu. Upande wa Azimio umependekeza mabadiiliko kwa vipengee tata kikiwemo kile cha ushuru wa asilimia 1.5 kwa ujenzi wa nyumba za nafuu na pendekezo la kutozwa kwa asilimia kumi na sita ya ushuru kwa bidhaa za mafuta. Kenya Kwanza umeshikilia kuwa mswada huo ni sharti uidhinishwe kwani utasaidia katika utekelezaji wa ahadi za serikali, jambo ambalo upinzani umeshikilia kuwa hauna ukweli.
Majibizano makali yatarajiwa bungeni alasiri ya leo kuhusu mswada wa fedha 2023
- 7 Aug 2025 - A man believed to be behind a string of brutal murders in Gem Yala sub-county in Siaya was apprehended and later lynched by members of the public.
- 7 Aug 2025 - The population of Japanese nationals fell by a record amount -- more than 900,000 people -- in 2024, official data showed, as the country battles to reverse its perennially low birth rates.
- 7 Aug 2025 - Alarm has been raised after it emerged that the government allocates only Ksh76 per primary school student.
- 7 Aug 2025 - There was a moment of unrest at Naivasha GK prison on Wednesday evening after close to 3,000 inmates protested the death of an inmate.
- 7 Aug 2025 - The baby was flown to India in April for a life-saving heart surgery.
- 7 Aug 2025 - Iranian officials maintain those deported were undocumented and most left voluntarily, citing security and resource concerns.
- 7 Aug 2025 - The two passed away on Wednesday, August 6.
- 7 Aug 2025 - One person has been reported dead in the skirmishes.
- 7 Aug 2025 - A US Senator has initiated a review of Kenya' Major non-NATO ally status.
- 7 Aug 2025 - Cases drag on in court, victims have to buy P3 forms, which hospitals take too long to fill out, and police collude with abusers.