Skip to main content
Skip to main content

Kenya yajiandaa kuwa mwenyeji wa kongamano la COMESA

  • | Citizen TV
    333 views
    Duration: 1:34
    Kenya imethibitisha utayari wake wa kuwa mwenyeji wa mkutano wa 24 wa wakuu wa nchi na serikali wa COMESA utakaofanyika tarehe 9 Oktoba кatika jumba la kimataifa la mikutano la KICC, jijini Nairobi.