Skip to main content
Skip to main content

IEBC yatumai usajili wa wapiga kura mara dufu kinyume na inavyoshuhudiwa siku tatu za kwanza

  • | Citizen TV
    2,708 views
    Duration: 2:53
    Tume ya uchaguzi nchini IEBC imeelezea matumaini kuwa idadi ya watu watakaosajiliwa upya kama wapiga kura itaongezeka kinyume na ilivyoshuhudiwa siku chache zilizopita. Tume hiyo ambayo inatembelea vyuo vikuu kuwashawishi vijana kujisajili, imesema kuwa ushawishi wao kwa vijana utazaa matunda na kuongeza maradufu idadi ya wanaosajiliwa