Iran yaanzisha vinu vipya katika programu yenye utata ya nyuklia
Iran imeanza kuweka mabomba mapya ya nyuklia na inapanga kuweka mengine katika wiki zijazo baada ya kukabiliwa na ukosoaji kwa progamu yake ya nyuklia, shirika la Umoja wa Mataifa linalofuatilia masuala ya nyuklia limesema siku ya Ijumaa. Marekani imeieleza hatua hiyo ni “kuongeza mivutano ya nyuklia.”
Kuanzisha vinu vipya katika program ya nyuklia ya Iran, ambayo tayari inasindika uranium kwa viwango vya kuweza kutengeneza silaha za nyuklia na kuboresha shehena yake kwa mabomu kadhaa ya nyuklia kama itaamua kuchukua mwelekeo huo.
Hata hivyo, kukiri kwa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki halikujumuisha pendekezo lolote kuwa Iran inapanga kufikia kiwango vya juu vya kusindika uranium huku kukiwepo mivutano mipana kati ya Tehran na nchi za Magharibi wakati vita vya Israel na Hamas vikiendelea Ukanda wa Gaza.
Shirika la IAEA lilisema wakaguzi wake walithibitisha Jumatatu kuwa Iran ilikuwa imeanza kuweka uranium katika mabomba matatu yenye uwezo wa kurutubisha katika viwango vya IR-4 na IR-6 katika kituo cha usindikaji cha Natanz. Vinu hivyo ni mkusanyiko wa mabomba ya kuchanganya gesi ya uranium pamoja ili kurutubisha kwa haraka madini hayo ya uranium.
Hadi sasa, Iran imekuwa ikisindika uranium katika vituo hivyo kufikia uhalisia wa asilimia 2. Iran tayari imerutubisha uranium kufikia asilimia 60, ikiwa iko karibu kufikia hatua ya kiufundi kuweza kutengeneza silaha mbalimbali kwa kiwango cha asilimia 90.
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #kufrdan #jenin #wanamgambo #wapalestina #jeshi #israel #iran #isfahan #natanz #uranium #vinu #urutubishaji #kusindika #uranium
15 May 2025
- The former Police boss was known for his hard stance against crime.
15 May 2025
- Kindiki claims that the government will weed out 'stubborn' heads of institutions.
15 May 2025
- If passed into law, the Bill would also greatly affect the Kenyan shilling.
15 May 2025
- The government has unveiled a multi-agency team that will consolidate existing registers for all students in the country, from early childhood to university level, into a single integrated database.
15 May 2025
- Gospel artist Alex Nyachonga Apoko, popularly known as Ringtone, was on Thursday arraigned at the Milimani Law Courts alongside co-accused Alfred Juma Ayora over allegations of defrauding a businesswoman of a parcel of land worth Ksh.50 million.
15 May 2025
- Agriculture Cabinet Secretary Mutahi Kagwe has called on those opposing the leasing of four State-owned sugar factories to private millers to embrace the move to allow farmers to receive their benefits.
15 May 2025
- The Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) found that Kenya Police officers’ population fell from 92, 350 in 2023 to 88, 483 officers in 2024.
15 May 2025
- Principal Prosecution Counsel Bernard Owour informed the court that the two allegedly murdered Gaala Adan, a refugee girl aged 17, on March 22, 2025 at Lolkuta South Sub-location, Wara Location, Hadado Sub-County, within Wajir County.
15 May 2025
- Residents of Gathigiriri village in Kirinyaga County have protested over the death of a middle aged man, accusing Nyumba Kumi elders in the village of beating him to death.
15 May 2025
- The former Police boss was known for his hard stance against crime.
15 May 2025
- PS Omollo expressed satisfaction with the progress made so far
15 May 2025
- Globally, breast cancer is the most common cancer in women.
15 May 2025
- Kindiki claims that the government will weed out 'stubborn' heads of institutions.