Mabingwa wa BAL Petro de Luanda 2024, Faust yapata pointi 24
Timu ya Petro de Luanda ilipata ushindi wa pointi 107- 94 dhidi ya Al Ahly Ly Jumamosi na kushinda taji la Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Afrika 2024 huko BK Arena Kigali, Rwanda.
Huu ni ushindi wa kwanza wa bara la Afrika kwa Petro de Luanda tangu iliposhinda Michuano ya Kombe la Afrika FIBA 2015, katika mji mkuu Luanda.
Mabingwa hao wa Angola walikuwa nyuma kwa pointi 52 – 40 wakati wa mapumziko lakini wakaweza kubadilisha muelekeo katika kota ya tatu ya mchezo huo na kuzima ushindi wa michezo mitatu ya Al Ahly Ly katika msimu uliopita.
Nicholas Faust aliongoza washindi hao wapya kwa pointi 24; Markeith Cummings aliongeza pointi 20 na Cleusio Castro alionyesha juhudi kubwa ya kupata pointi 10 alipoingia mchezoni.
Kwa ushindi huo, Petro de Luanda ilijipatia haki ya kuwakilisha Afrika katika Michuano ya Kombe la Mabara mbalimbali Septemba ijayo huko Singapore. (BAL)
#basketball #bal #nba #playoffs #explorepage #sports #africa #voa
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
11 Aug 2025
- The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- Justice Ndung'u credits unlikely male allies in Parliament for breakthrough legislation protecting women