Skip to main content
Skip to main content

Kama vijana tulikuwa tunajivunia Raila Odinga kwani alitufundisha kuhusu haki yetu ya kuandamana

  • | KBC Video
    382 views
    Duration: 8:26
    Job Mugodi, Mkazi Nakuru: Sisi kama vijana tulikuwa tunajivunia Raila Odinga kwa sababu ndiye aliyetufundisha kuhusu haki yetu ya kuandamana na kujieleza. Kifo chake kimetushtua sana. Tunaamini kuwa kufuatia kifo chake, siasa za Kenya zitabadilika kwa kiasi kikubwa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #KBCchannel1 #Kenya #News