Mahojiano maalum na Naibu Katibu Mkuu wa UN (Sehemu ya 1)
Naibu katibu mkuu wa Umoja wa Matifa UN Jean- Pierre La Croix ametangaza kuwa UN imepewa mamlaka yote kusaidia kifedha kikosi cha SADC kwa ajili ya kudumisha amani na usalama mashariki mwa DRC. Alifahamisha hayo wakati wa ziara yake huko Kivu Kaskazini.
Akizungumuza na waandishi wa habari dakika chache baada ya kukutana na kamati ya usalama wa Mkoa wa Kivu Kaskazini inayosimamiwa na Gavana wa Kivu Kaskazini, Meja Jenerali Peter Cirimwami siku ya Alhamisi, Jean – Pierre la Croix amesema kwa sasa ni muhimu kwa DRC na MONUSCO kushirikiana, kwani Umoja wa Mataifa umepewa mamlaka ya kuwasaidia wanajeshi wa SADC kifedha na huduma nyingine kwa ajili ya kurejesha amani na usalama mashariki mwa Congo.
“Kwa sasa tumepewa mamlaka ya kusaidia SAMIDRC kupitia MONUSCO kupitia njia za kidiplomasia na kisiasa na kuunga mkono juhudi za SADC na kikanda. Tunaunga mkono hata hivyo usitishwaji wa mapigano ambao umepunguza ghasia licha ya kuwepo matatizo madogo , kuna mambo mengi ya kufanya na hatuwezi kusema kwamba pande husika zimeheshimu kikamilifu sitisho la mapigano,” La Croix alisema.
La Croix alitembelea mkoa wa Ituri ambako kumekuwa kukiripotiwa mauaji kila siku na kulazimisha wakazi kuhama vijiji vyao.
Wakimbizi wa ndani katika mkoa huo wanakabiliwa na ukosefu wa misaada
Ripoti/ Picha na Mahojiano na Austere Malivika
5 Aug 2025
- The highway is expected to connect Kenya and two neighbouring nations.
5 Aug 2025
- This comes after the closure of at least 1,000 facilities.
5 Aug 2025
- Pastor was removed from duty due to alleged misconduct.
5 Aug 2025
- Elson Tumwine, who had gone missing while interning at Hoima, a city in Uganda reappeared in Entebbe Magistrate Court and was arraigned before Grade One Magistrate Tibayeta Edgar Tusiime.
5 Aug 2025
- Okode claims the letter was a forgery and that no such resignation exists, adding that it was the work of saboteurs.
5 Aug 2025
- Five people, among them an infant, were killed a road crash at Mbaruk area in Gilgil along the Nakuru-Eldoret Highway.
5 Aug 2025
- The United States on Monday issued a security alert after heavy gunfire erupted near its embassy in Haiti, with the impoverished Caribbean country engulfed by escalating gang violence.
5 Aug 2025
- According to KMPDC appeals to be made after 90 days; bed update requests due by August 8.
5 Aug 2025
- A Brazilian judge on Monday placed former president Jair Bolsonaro under house arrest for breaking a social media ban, escalating a dramatic standoff between the court and the politician, who is accused of plotting a coup.
5 Aug 2025
- The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has apprehended Tiktoker Shedrack Omondi Okindo, alias Hon. Mosquito, in connection with an inciting video that was widely circulated on TikTok.
5 Aug 2025
- The highway is expected to connect Kenya and two neighbouring nations.
5 Aug 2025
- This comes after the closure of at least 1,000 facilities.
5 Aug 2025
- The U.S. could require bonds of up to $15,000 (approximately Ksh.1,938,150 for some tourist and business visas under a pilot program launching in two weeks, a government notice said on Monday, an effort that aims to crack down on visitors who overstay…