- 390 views
Kwa mara nyingine muungano wa wauguzi KNUN kaunti ya Kisii umetangaza mgomo wa kushinikiza serikali ya kaunti hiyo kutekeleza ahadi iliyotoa kwao. Miongoni mwa ahadi hizo ni kuwapa wauguzi barua za kuajiriwa, kuwapandisha vyeo na kuboresha mazingira ya kazi. Wakihutubia wanahahabari mjini Kisii, viongozi wa muungano huo wametaka waziri wa afya kutimiza ahadi zilizotolewa kwa wahudumu hao wa afya.cHata hivyo akizungumza na runinga ya Citizen kwa njia ya simu waziri wa Afya kaunti ya Kisii, Ronald Nyakweba amesema kuwa tayari barua zinaendelea kuandikwa akiwataka wauguzi wawe na subra serikali ikiwa mbioni kutekeleza ahadi hiyo.
Wauguzi Kisii wametangaza mgomo
- 12 Jul 2025 - The family of Julia Njoki is demanding justice for their daughter as they remain unconvinced about the circumstances surrounding her death after the Saba Saba protests.
- 12 Jul 2025 - The residents said they would continue protesting until the government heeds their demands.
- 12 Jul 2025 - ODM leader says the issues raised by the youth should open the door for a national conversation.
- 12 Jul 2025 - "We don’t need an outsider to come here reminding us who to vote for."
- 12 Jul 2025 - Kenya Sugar Board CEO Chesire said move will allow immature cane to fully mature and improve both yields and quality.
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has announced plans to fence off the Kaptagat Forest Ecosystem as part of a broader initiative to protect all state forests across the country.
- 12 Jul 2025 - Head of State vows to deal with criminals who target other people’s property during protests.
- 12 Jul 2025 - The Kenya Sugar Board (KSB) has called on farmers to support a planned three-month shutdown of sugar factories across the country, arguing the move will allow sugarcane to mature fully and earn farmers higher returns. In a statement shared on Saturday,…
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has accused the opposition of inciting young people to cause violence and ethnic tension instead of offering real solutions to challenges facing Kenyans.
- 12 Jul 2025 - “Whether you're a leader or hold any other position, if you pay criminals to cause havoc, we will hold you to account."