Mashambulizi yaliyofanywa na Israel yaua Wapalestina 47, darzeni wajeruhiwa
Wapalestina 47 wameuawa na darzeni kujeruhiwa, wengi wao wakiwa watoto na wanawake katika mashambulizi ya usiku wa kuamkia Ijumaa yaliyotekelezwa na Israel katikati mwa ukanda wa Gaza.
Shirika la habari la Palestina WAFA, limeripoti kwamba mashambulizi yametokea katika mji wa Deir Al-Balah, kambi ya Nuseirat, na katika mji wa Al-Zawayda.
Jeshi la Israel limesema wanajeshi wake wamewalenga na kuwaua magaidi kadhaa waliokuwa wamejihami katikati mwa Gaza na kuua darzani kadhaa katika sehemu ya Jabalia, kaskazini mwa Gaza.
Vita vya Gaza vilianza baada ya wanamgambo wa Hamas kushambulia Israel Oktoba 7 2023 na kuua watu 1,200, kuteka nyara 251 na kurudi nao Gaza.
Mashambulizi ya Israel katika Gaza yameua zaidi ya wapalestina 43,000 na kuharibu kabisa sehemu hiyo. - Reuters
5 Aug 2025
- The highway is expected to connect Kenya and two neighbouring nations.
5 Aug 2025
- This comes after the closure of at least 1,000 facilities.
5 Aug 2025
- Pastor was removed from duty due to alleged misconduct.
5 Aug 2025
- Elson Tumwine, who had gone missing while interning at Hoima, a city in Uganda reappeared in Entebbe Magistrate Court and was arraigned before Grade One Magistrate Tibayeta Edgar Tusiime.
5 Aug 2025
- Okode claims the letter was a forgery and that no such resignation exists, adding that it was the work of saboteurs.
5 Aug 2025
- Five people, among them an infant, were killed a road crash at Mbaruk area in Gilgil along the Nakuru-Eldoret Highway.
5 Aug 2025
- The United States on Monday issued a security alert after heavy gunfire erupted near its embassy in Haiti, with the impoverished Caribbean country engulfed by escalating gang violence.
5 Aug 2025
- A Brazilian judge on Monday placed former president Jair Bolsonaro under house arrest for breaking a social media ban, escalating a dramatic standoff between the court and the politician, who is accused of plotting a coup.
5 Aug 2025
- The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has apprehended Tiktoker Shedrack Omondi Okindo, alias Hon. Mosquito, in connection with an inciting video that was widely circulated on TikTok.
5 Aug 2025
- The highway is expected to connect Kenya and two neighbouring nations.
5 Aug 2025
- This comes after the closure of at least 1,000 facilities.
5 Aug 2025
- The U.S. could require bonds of up to $15,000 (approximately Ksh.1,938,150 for some tourist and business visas under a pilot program launching in two weeks, a government notice said on Monday, an effort that aims to crack down on visitors who overstay…
5 Aug 2025
- Pastor was removed from duty due to alleged misconduct.