Skip to main content
Skip to main content

Abbas Super Cup yaanza kwa kishindo katika uwanja wa magereza Nairobi Magharibi

  • | Citizen TV
    74 views
    Duration: 1:32
    Timu ya kuwinda 1 fc kutoka Karen iliilaza undugu family ya Kibera moja kavu katika mechi ya ufunguzi ya kombe la Langata Abas Super Cup iliyochezwa leo alasiri katika uwanja wa magereza Nairobi Magharibi