Skip to main content
Skip to main content

Askofu wa kanisa la GNCA ataka serikali ipunguze bei ya mafuta zaidi

  • | Citizen TV
    179 views
    Duration: 56s
    Askofu Mkuu wa Kanisa la Good News of Africa Raphael Nzuki Kituva ameitaka Serikali kuhakikisha kwamba bei ya mafuta inashuka kwa kiasi ambacho wakenya wa mapato ya chini wataweza kumudu. Kadhalika, askofu Nzuki ameitaka serikali kukomesha kabisa magenge ya wahuni kwenye mikutano ya kisiasa.